TUNATENGENEZA FURNITURES ZA KISASA

Umewaza ni wapi utapata masofa ya kisasa kwa bei nafuu? V ONE FURNITURE itakutengenezea masofa mazurii makali na ya kisasa.  Tupo dar es salaam ila mkoa wowote ukihitaji kazi tutakuletea kwa uaminifu wa hali ya juu.

wengi wameipenda kazi yetu na huduma zetu karibu tukuhudumie.
pia kama una sofa za zamani na ungetaka kuzifanya kuwa mpya na za kisasa. tutakubadilishia ziwe za kisasa na za muonekano mpya. tupe order tukubalishie sofa zako za zamani ndani ya siku 7.

UNAWEZA KUJIONEA PICHA ZA MASOFA TULIZO WATENGENEZEA BAADHI YA WATEJE WETU HAPA
Sasan unaweza kutupigia popote ulipo huduma yetu itakufikia. hata ukiwa mkoani tutakutumia kwa njia ya posta na mzigom wako utafika salama. TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM CLICK HAPA INSTAGRAM





TUNATENGENEZA FURNITURES ZA KISASA TUNATENGENEZA FURNITURES ZA KISASA Reviewed by vitu vya mzungu on October 16, 2018 Rating: 5

No comments:

Ad Home

Responsive Ads Here
Powered by Blogger.